WELCOME TO THE WORLD OF MINE FEEL AT HOME
Sunday, July 18, 2010
SUPER MODAL
LOOK WHAT AM PRETTY
NIMZIAEL AND NEEMA
MY GHETTO THE ROCKSON GHETTO HUYO NI NEY MY SHEM
Sunday, July 4, 2010
nani kasema hana shem? huyo wetu wa mrisho pembeni tumaini kushoto ni rockson
having fun with my friends that's in IRINGA
JAMAA ANAMCHANGO MKUBWA SANA KATIKA TAIFA LETU NAE NI MDAU WANGU MTU WA WATU ANA KAZI ZAKE NYINGI ZA KITALUUMA ALIZOZITOA .
mbele ya kalenga museum
mama watoto anakagua fuvu nikiwa nimesimama pembeni ya kumbukumbu ya shujaa wetu
as you see
picha ya pamoja
mtemi wa mwisho ndani ya iringa mwamba stephen c.
fuvu la shujaa wetu mkwawa nikimkumbuka na mimi huwa natamani kujinyonga, sio mimi mwenye maneno hayo nimenukuu kutoka kwa aswile neema
fuvu la shujaa wetu mkwawa nikimkumbuka na mimi huwa natamani kujinyonga, sio mimi mwenye maneno hayo nimenukuu kutoka kwa aswile neema
pamoja daima na macollege met
picha ya pamoja na washkaji wa chuo
tumeshafika kalenga ndio tunaingia
pamoja daima na macollege met
tupo na tour guide wetu a.k.a kitukuu cha mkwawa
bado safari
Saturday, July 3, 2010
kwenye gari katika kuelekea kunako tukio la kumbukumbu ya fuvu la mkwawa
kabla ya safari ya kalenga "MKWAWA MUSEUM"
kabla ya safari ya kalenga "MKWAWA MUSEUM"
Newer Posts
Older Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)