WELCOME TO THE WORLD OF MINE FEEL AT HOME
Wednesday, June 30, 2010
sipati picha tukiondoka mrembo huyu sijui atabaki na nani? huyo ni mke wa mrisho
Sunday, June 27, 2010
Saturday, June 26, 2010
jamani hata kama usitamani mwanamke ambaye sio wako sio kama namna hii sijasema mimi maneno hayo kasema mdau wangu tumaini masunga
jamani huyo ndio mdau wa blog yangu ni mtu angu wa karibu sana alikuwa room met wetu wakati tupo first year anaitwa SAM. A.K.A kipenzi cha wengi
jamani huyo ndio mdau wa blog yangu ni mtu angu wa karibu sana alikuwa room met wetu wakati tupo first year anaitwa SAM. A.K.A kipenzi cha wengi
nimeoa jamani na huyo ndio mke lakini sijafungwa kamba au kengele club kama kawa pombe usiseme naelekea room mlango wa pili kutoka mwanzo
utatuambia nini? jamaa sio college met nikama ndugu brother yangu na yeye chuo kimoja wamesoma si mwingine ni mrisho
dah, nipo na mwanangu tumaini jamaa anamadream ya kumiliki mjumba na kuwa mfanya biashara maarufu hilo ndio ghetto lake
Friday, June 25, 2010
maskini wee mjomba huyo ndio anakuwa mimi sijui ninavyomfahamu dadangu atalia maana anahasira kweli mic u uncle and god bless you.
Tuesday, June 22, 2010
let us pray before doing anything also l would like to pray on behave of mwamba family for angelina mwamba{ r.i.p}
Newer Posts
Home
Subscribe to:
Posts (Atom)